Mabingwa wa Ligi Kuu ya England Leicester City wamekubaliana na CSKA Moscow kumsajili mshambuliaji kutoka Nigeria Ahmed Musa. Hii ni kwa mujibu wa wakala wa mchezaji huyo. Musa, 23, alijiunga na CSKA mwaka 2012 na kupachika mabao 54 katika mechi 168. BBC Sport inasema Leicester 'wamevunja benki' katika ada ya kumsajili mchezaji huyo. BBC Sport pia inasema Musa alikataa kwenda Southampton, Everton na West Ham. Kocha wa CSKA Moscow Leonid Slusky amekiri kuwa Mnigeria huyo ambaye anaweza kucheza kama winga au mshambuliaji wa kati, anaondoka Urusi.
BREAKING NEWS
-
Bonyeza hapa kuyaangalia moja kwa moja...
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
SOMA ZAIDI HAPA
-
Bonyeza hapa kuyaangalia moja kwa moja...
-
Kijana wa miaka 11 apata ugonjwa wa kugeuka jiwe. Ramesh kumari kutoka Nepal mwenye umri wa miaka 11 anaugua ugonjwa wa uso na mwili kugeuk...
-
Kampuni ya kuzalisha umeme nchini Kenya, KENGEN imetuma taarifa kwa vyombo vya habari ikiomba radhi kwa ukosefu wa umeme Kwa hapo jan...
-
Discuss the merits and demerits of nucleated (or dispersed) settlements for agricultural development in Tanzania. Note 1: work in groups...
-
Image caption Makamu wa rais Riek Machar Kushoto na Salva Kiir Kulia Taarifa kutoka Sudan Kusini zinasema mamia ya watu, wengi wa...
-
Paka aliyewekwa katika kitabu cha kumbukumbu cha Guiness of World record kwa kuwa mzee amefariki. Scooter aliyesheherekea miaka 30 ya k...
-
Settlement During this unit you will understand more about the built environment around you by looking at different settlements past and p...

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni