Mabingwa wa Ligi Kuu ya England Leicester City wamekubaliana na CSKA Moscow kumsajili mshambuliaji kutoka Nigeria Ahmed Musa. Hii ni kwa mujibu wa wakala wa mchezaji huyo. Musa, 23, alijiunga na CSKA mwaka 2012 na kupachika mabao 54 katika mechi 168. BBC Sport inasema Leicester 'wamevunja benki' katika ada ya kumsajili mchezaji huyo. BBC Sport pia inasema Musa alikataa kwenda Southampton, Everton na West Ham. Kocha wa CSKA Moscow Leonid Slusky amekiri kuwa Mnigeria huyo ambaye anaweza kucheza kama winga au mshambuliaji wa kati, anaondoka Urusi.
BREAKING NEWS
-
Kilimanjaro Airports Development Company (KADCO) is a company owned by the Government of United Republic of Tanzania charged to manage and ...
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
SOMA ZAIDI HAPA
-
Kilimanjaro Airports Development Company (KADCO) is a company owned by the Government of United Republic of Tanzania charged to manage and ...
-
Image caption Mosul Iraq Viongozi wawili wakuu wa kundi la kigaidi la Islamic State waliuawa katika mashambulizi ya angani...
-
Image copyright GETTY Naibu mkuu wa jeshi la Uturuki ametangaza kwa njia ya runinga kuwa jaribio la mapinduzi ya kijeshi limeshindwa. ...
-
Introduction What is a teaching portfolio? A teaching portfolio is a collection of documents tha...
-
Image copyright AFP Image caption Hii ni mara ya kwanza kwa Ureno kushinda taji kubwa kama hilo. Kundi kubwa la mashabiki wa Ureno limee...
-
Image copyright TFF TWITTER Image caption Yanga watakutana na Medeama Jumamosi saa kumi jioni Wapinzani wa klabu ya Young Africans, kati...
-
Kilimo cha miti kimepata umaarufu wa ghafla miaka ya hivi karibuni kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ongezeko la mahitaji ya mazao ya m...

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni