Mabingwa wa Ligi Kuu ya England Leicester City wamekubaliana na CSKA Moscow kumsajili mshambuliaji kutoka Nigeria Ahmed Musa. Hii ni kwa mujibu wa wakala wa mchezaji huyo. Musa, 23, alijiunga na CSKA mwaka 2012 na kupachika mabao 54 katika mechi 168. BBC Sport inasema Leicester 'wamevunja benki' katika ada ya kumsajili mchezaji huyo. BBC Sport pia inasema Musa alikataa kwenda Southampton, Everton na West Ham. Kocha wa CSKA Moscow Leonid Slusky amekiri kuwa Mnigeria huyo ambaye anaweza kucheza kama winga au mshambuliaji wa kati, anaondoka Urusi.
BREAKING NEWS
-
Introduction What is a teaching portfolio? A teaching portfolio is a collection of documents tha...
-
Mwanamke ambaye anataka kutumia mayai ya uzazi ya bintinye ili kumzaa mjukuu wake ameshinda kesi mahakanani na kuruhusiwa kufanya...
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
SOMA ZAIDI HAPA
-
Introduction What is a teaching portfolio? A teaching portfolio is a collection of documents tha...
-
Mwanamke ambaye anataka kutumia mayai ya uzazi ya bintinye ili kumzaa mjukuu wake ameshinda kesi mahakanani na kuruhusiwa kufanya...
-
Mshirikishe mwenzako Image caption Kuondoa sheria hiyo ilikuwa moja ya vipaumbele vya Trump alipokuwa akiwania urais Makamu wa...
-
What is Sociolinguistics? One of the goals of the MLC is to equip students with a solid knowledge – both theoretical and practic...
-
Published Under SIASA Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amesema hataki kuwaona nyumbani kwake wasanii ambao wamekacha...
-
Mabingwa wa Ligi Kuu ya England Leicester City wamekubaliana na CSKA Moscow kumsajili mshambuliaji kutoka Nigeria Ahmed Musa. Hii ni kwa m...
-
Image caption Taban Deng Gai Maafisa wa serikali ya Sudan Kusini wameiambia BBC kwamba wanamtambua waziri wa madini Taban Deng Gai kuwa ...
-
Leo tarehe 3 julai Waziri Mkuu wa zamani Mh. Edward N Lowassa alikua moja wa wageni waalikwa sambamba na Rais wa Jamuhuri ya Kenya, Uhur...
-
N MKOA NAMBA YA SHULE JINA LA SHULE JINSI JINA 1 GEITA S1164 MISSUNGWI SECONDARY SCHOOL F ...

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni