Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amemuagiza Kamishna wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Ernesti Mangu kumpandisha cheo askari wa Usalama barabarani ambaye alitukanwa na Mke wa Waziri wakati akitekeleza majukumu yake ya kikazi.
Rais ameyasema hayo wakati akifungua Kikao cha Makamanda wa Polisi wa Mikoa. Aidha Rais Dr. Magufuli amesema ameshamuonya Waziri huo ambaye mke wake amemtukana askari wa Usalama Barabarani.
Wakati akitoa agizo hilo, rais amesema hakuna kiongozi au familia ya kiongozi iliyoko juu ya sheria.
Chanzo: TBC1
BREAKING NEWS
-
Bonyeza hapa kuyaangalia moja kwa moja...
Jumamosi, 30 Aprili 2016
APANDISHWA CHEO KWA KUTUKANWA NA MKE WA WAZIRI
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
SOMA ZAIDI HAPA
-
Bonyeza hapa kuyaangalia moja kwa moja...
-
Nucleated rural settlement Advantages More interaction with people. Safer as there are more people. Can share ideas on how to solve a p...
-
Image caption Ndege ya waziri Netanyahu Waziri mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu ametua nchini Uganda katika ziara ya kwanza kabisa kwa...
-
Image copyright Image capti Mwanafunzi mmoja wa chuo kikuu kimoja nchini Kenya amejitia kitanzi baada ya kupoteza dau la shilingi...
-
Image caption Magufuli: AirTanzania kupaa tena kufikia mwisho wa mwezi Septemba mwaka huu Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amet...
-
Settlement During this unit you will understand more about the built environment around you by looking at different settlements past and p...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni