Leo tarehe 3 julai Waziri Mkuu wa zamani Mh. Edward N Lowassa alikua moja wa wageni waalikwa sambamba na Rais wa Jamuhuri ya Kenya, Uhuru Kenyatta, katika tukio kubwa la kumuwekea wakfu Askofu wa jimbo kuu la kanisa la Anglikana Kenya, Askofu Dr. Jackson Nasoore Ole Sapit iliyo fanyika kwenye kanisa la "All Saints Cathedral Nairobi".
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
SOMA ZAIDI HAPA
-
Nucleated rural settlement Advantages More interaction with people. Safer as there are more people. Can share ideas on how to solve a p...
-
Shule 10 zilizofanya vizuri: 1.Kisimiri,-Arusha 2.Feza Boys,-Dar es Salaam 3.Alliance Girls,-Mwanza 4. Feza Girls,-Dar es Salaam 5. Ma...




Hakuna maoni:
Chapisha Maoni