TANZIA: Mwigizaji wa comedy Mohammed Abdallah maarufu "Kinyambe" amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya mkoa wa Mbeya alikokuwa amelazwa akipatiwa matibabu.
Mungu amlaze mahali pema peponi ndugu yetu Kinyambi. #RIP
👇👇👇👇👇👇 WALIMU wa shule ya msingi Kianda wameanza mgomo wa siku mbili wa kutofundisha shuleni hapo huku wakilaani kitendo cha Ofisa E...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni