Image copyright GETTY Image caption Michy alifunga dhidi ya Hungary baada ya kuingia nafasi ya Romelu Lukaku Klabu ya Chelsea ya Uingerez...
Alhamisi, 12 Mei 2016
KINYAMBE AFARIKI DUNIA
TANZIA: Mwigizaji wa comedy Mohammed Abdallah maarufu "Kinyambe" amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya mkoa wa Mbeya alikokuwa amelazwa akipatiwa matibabu.
Mungu amlaze mahali pema peponi ndugu yetu Kinyambi. #RIP
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni