Image copyright GETTY Naibu mkuu wa jeshi la Uturuki ametangaza kwa njia ya runinga kuwa jaribio la mapinduzi ya kijeshi limeshindwa. ...
Alhamisi, 12 Mei 2016
KINYAMBE AFARIKI DUNIA
TANZIA: Mwigizaji wa comedy Mohammed Abdallah maarufu "Kinyambe" amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya mkoa wa Mbeya alikokuwa amelazwa akipatiwa matibabu.
Mungu amlaze mahali pema peponi ndugu yetu Kinyambi. #RIP
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni