Mwanamke ambaye anataka kutumia mayai ya uzazi ya bintinye ili kumzaa mjukuu wake ameshinda kesi mahakanani na kuruhusiwa kufanya...
Alhamisi, 12 Mei 2016
KINYAMBE AFARIKI DUNIA
TANZIA: Mwigizaji wa comedy Mohammed Abdallah maarufu "Kinyambe" amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya mkoa wa Mbeya alikokuwa amelazwa akipatiwa matibabu.
Mungu amlaze mahali pema peponi ndugu yetu Kinyambi. #RIP
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni