Image caption Magufuli: AirTanzania kupaa tena kufikia mwisho wa mwezi Septemba mwaka huu Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amet...
Alhamisi, 12 Mei 2016
KINYAMBE AFARIKI DUNIA
TANZIA: Mwigizaji wa comedy Mohammed Abdallah maarufu "Kinyambe" amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya mkoa wa Mbeya alikokuwa amelazwa akipatiwa matibabu.
Mungu amlaze mahali pema peponi ndugu yetu Kinyambi. #RIP
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni