#Habari:Wananchi wa kijiji cha Mkomilo kata ya Okaoni wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro wametishia kuchoma moto nyumba za Polisi na kufunga kituo cha polisi Okaoni kwa madai kuwa askari waliopo katika kituo hicho wameshindwa kukabiliana na matukio ya uhalifu na hivyo kusababisha mwenyekiti wa kijiji hicho kuuawa karibu na kituo hicho bila kupata msaada wa polisi licha ya kupewa taarifa.
#source Radio one stereo
Jumapili, 1 Mei 2016
AUAWA KARIBU NA KITUO CHA POLISI- MOSHI
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
SOMA ZAIDI HAPA
-
N MKOA NAMBA YA SHULE JINA LA SHULE JINSI JINA 1 GEITA S1164 MISSUNGWI SECONDARY SCHOOL F ...
-
Hegel's Philosophy of Right Third Part: Ethical Life § 142 Ethical life is the Idea of freedom in that on the one hand it is the...
-
Image copyright AFP Image caption Mfumo wa kujilinda na mashambulio ya makombora(THAAD) Marekani na Korea Kusini zimekubaliana kuweka mf...
-
Normative ethics is the study of ethical action. It is the branch of philosophical ethics that investigates the set of quest...
-
Kundi moja la maafisa wa polisi limefanya maandamano karibu na tama...
-
Image copy Mchezaji nyota wa Argentina na Barcelona Lionel Messi amehukumiwa kifungo cha miezi 21 jela baada ya kupatikana na makosa ya...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni