#Habari:Wananchi wa kijiji cha Mkomilo kata ya Okaoni wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro wametishia kuchoma moto nyumba za Polisi na kufunga kituo cha polisi Okaoni kwa madai kuwa askari waliopo katika kituo hicho wameshindwa kukabiliana na matukio ya uhalifu na hivyo kusababisha mwenyekiti wa kijiji hicho kuuawa karibu na kituo hicho bila kupata msaada wa polisi licha ya kupewa taarifa.
#source Radio one stereo
Jumapili, 1 Mei 2016
AUAWA KARIBU NA KITUO CHA POLISI- MOSHI
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
SOMA ZAIDI HAPA
-
Bonyeza hapa kuyaangalia moja kwa moja...
-
Nucleated rural settlement Advantages More interaction with people. Safer as there are more people. Can share ideas on how to solve a p...
-
Image caption Ndege ya waziri Netanyahu Waziri mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu ametua nchini Uganda katika ziara ya kwanza kabisa kwa...
-
Image copyright Image capti Mwanafunzi mmoja wa chuo kikuu kimoja nchini Kenya amejitia kitanzi baada ya kupoteza dau la shilingi...
-
Image caption Magufuli: AirTanzania kupaa tena kufikia mwisho wa mwezi Septemba mwaka huu Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amet...
-
Settlement During this unit you will understand more about the built environment around you by looking at different settlements past and p...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni