#Habari:Wananchi wa kijiji cha Mkomilo kata ya Okaoni wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro wametishia kuchoma moto nyumba za Polisi na kufunga kituo cha polisi Okaoni kwa madai kuwa askari waliopo katika kituo hicho wameshindwa kukabiliana na matukio ya uhalifu na hivyo kusababisha mwenyekiti wa kijiji hicho kuuawa karibu na kituo hicho bila kupata msaada wa polisi licha ya kupewa taarifa.
#source Radio one stereo
BREAKING NEWS
-
Mshirikishe mwenzako Image caption Kuondoa sheria hiyo ilikuwa moja ya vipaumbele vya Trump alipokuwa akiwania urais Makamu wa...
-
Image caption Taban Deng Gai Maafisa wa serikali ya Sudan Kusini wameiambia BBC kwamba wanamtambua waziri wa madini Taban Deng Gai kuwa ...
Jumapili, 1 Mei 2016
AUAWA KARIBU NA KITUO CHA POLISI- MOSHI
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
SOMA ZAIDI HAPA
-
Mshirikishe mwenzako Image caption Kuondoa sheria hiyo ilikuwa moja ya vipaumbele vya Trump alipokuwa akiwania urais Makamu wa...
-
Image caption Taban Deng Gai Maafisa wa serikali ya Sudan Kusini wameiambia BBC kwamba wanamtambua waziri wa madini Taban Deng Gai kuwa ...
-
Image copyright GETTY Naibu mkuu wa jeshi la Uturuki ametangaza kwa njia ya runinga kuwa jaribio la mapinduzi ya kijeshi limeshindwa. ...
-
Image copyright REUTERS Image caption Bw Malik amesema angependa sana kukutana na Bw Trump Nduguye wa kambo wa Rais wa Marekani Barack Ob...
-
BONYEZA HAPA KUANGALIA MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2016
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni