WATU wawili wanaosadikika kuwa ni majambazi ambao wametokea Njombe wameuwawa katika majibizano ya risasi na polisi baada ya kuvamia Pub ya Mama Siyovelwa iliyopo eneo la mtaa wa Ikulu mjini Iringa
Tukio hilo limetokea majira ya saa 10:45 jioni ya jana tarehe 30/04/2016 baada ya watu hao kuvamia Pub hiyo kwa lengo la kupora kabla ya raia wema kutoa taarifa polisi
Baadhi ya mashuhuda waliokuwepo eneo hilo wamesema kuwa watu hao walihofiwa mapema wakati wa kuingia eneo hilo ambapo inadaiwa walikuwa watatu na mmoja alijichanganya na Raia na kujificha.
Kazi kubwa iliyofanywa na polisi imefanikisha watu hao wawili waliokuwa na silaha kuuwawa bila raia wengine kujeruhiwa
Miili miwili ya watu hao wanaosadikika ni majambazi ambao baada ya kupekuliwa wamekutwa na tiketi za basi la Hapy National kutoka Njombe imepelekwa hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Iringa
Taarifa zaidi utazidi kuzipata japo Njombe kuna mauwaji ya kutumia silaha ambayo yalitokea juzi
BREAKING NEWS
-
What is Sociolinguistics? One of the goals of the MLC is to equip students with a solid knowledge – both theoretical and practic...
Jumamosi, 30 Aprili 2016
MAJAMBAZI WAWILI WAUAWA IRINGA
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
SOMA ZAIDI HAPA
-
What is Sociolinguistics? One of the goals of the MLC is to equip students with a solid knowledge – both theoretical and practic...
-
Introduction What is a teaching portfolio? A teaching portfolio is a collection of documents tha...
-
Image copyright GETTY Image caption Michy alifunga dhidi ya Hungary baada ya kuingia nafasi ya Romelu Lukaku Klabu ya Chelsea ya Uingerez...
-
Introduction The Ethical Standards for the Teaching Profession represent a vision of professional practice. At the heart o...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni