Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amemuagiza Kamishna wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Ernesti Mangu kumpandisha cheo askari wa Usalama barabarani ambaye alitukanwa na Mke wa Waziri wakati akitekeleza majukumu yake ya kikazi.
Rais ameyasema hayo wakati akifungua Kikao cha Makamanda wa Polisi wa Mikoa. Aidha Rais Dr. Magufuli amesema ameshamuonya Waziri huo ambaye mke wake amemtukana askari wa Usalama Barabarani.
Wakati akitoa agizo hilo, rais amesema hakuna kiongozi au familia ya kiongozi iliyoko juu ya sheria.
Chanzo: TBC1
Jumamosi, 30 Aprili 2016
APANDISHWA CHEO KWA KUTUKANWA NA MKE WA WAZIRI
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
SOMA ZAIDI HAPA
-
Paka aliyewekwa katika kitabu cha kumbukumbu cha Guiness of World record kwa kuwa mzee amefariki. Scooter aliyesheherekea miaka 30 ya k...
-
Image caption Mosul Iraq Viongozi wawili wakuu wa kundi la kigaidi la Islamic State waliuawa katika mashambulizi ya angani...
-
Image caption Magufuli: AirTanzania kupaa tena kufikia mwisho wa mwezi Septemba mwaka huu Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amet...
-
Image copyright PA WIRE Image caption George Osborne Waziri wa fedha wa Uingereza George Osborne ameeleza mipango ya wizara yake ...
-
Bonyeza hapa kuyaangalia moja kwa moja...
-
MMOJA wa madereva waliosababisha ajali ya mabasi ya City Boy Jumatatu iliyopita katika kijiji cha Maweni wilayani Manyoni, Jeremiah Semfu...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni