Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amemuagiza Kamishna wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Ernesti Mangu kumpandisha cheo askari wa Usalama barabarani ambaye alitukanwa na Mke wa Waziri wakati akitekeleza majukumu yake ya kikazi.
Rais ameyasema hayo wakati akifungua Kikao cha Makamanda wa Polisi wa Mikoa. Aidha Rais Dr. Magufuli amesema ameshamuonya Waziri huo ambaye mke wake amemtukana askari wa Usalama Barabarani.
Wakati akitoa agizo hilo, rais amesema hakuna kiongozi au familia ya kiongozi iliyoko juu ya sheria.
Chanzo: TBC1
BREAKING NEWS
-
What is Sociolinguistics? One of the goals of the MLC is to equip students with a solid knowledge – both theoretical and practic...
Jumamosi, 30 Aprili 2016
APANDISHWA CHEO KWA KUTUKANWA NA MKE WA WAZIRI
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
SOMA ZAIDI HAPA
-
What is Sociolinguistics? One of the goals of the MLC is to equip students with a solid knowledge – both theoretical and practic...
-
Introduction What is a teaching portfolio? A teaching portfolio is a collection of documents tha...
-
Image copyright GETTY Image caption Michy alifunga dhidi ya Hungary baada ya kuingia nafasi ya Romelu Lukaku Klabu ya Chelsea ya Uingerez...
-
Introduction The Ethical Standards for the Teaching Profession represent a vision of professional practice. At the heart o...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni