Mabingwa wa Ligi Kuu ya England Leicester City wamekubaliana na CSKA Moscow kumsajili mshambuliaji kutoka Nigeria Ahmed Musa. Hii ni kwa mujibu wa wakala wa mchezaji huyo. Musa, 23, alijiunga na CSKA mwaka 2012 na kupachika mabao 54 katika mechi 168. BBC Sport inasema Leicester 'wamevunja benki' katika ada ya kumsajili mchezaji huyo. BBC Sport pia inasema Musa alikataa kwenda Southampton, Everton na West Ham. Kocha wa CSKA Moscow Leonid Slusky amekiri kuwa Mnigeria huyo ambaye anaweza kucheza kama winga au mshambuliaji wa kati, anaondoka Urusi.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
SOMA ZAIDI HAPA
-
His pinpoint accurate free-kick goal in Argentina's 4-0 win over USA in the Copa America Centenario semi-finals was his 55th for his co...
-
Nucleated rural settlement Advantages More interaction with people. Safer as there are more people. Can share ideas on how to solve a p...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni