Mabingwa wa Ligi Kuu ya England Leicester City wamekubaliana na CSKA Moscow kumsajili mshambuliaji kutoka Nigeria Ahmed Musa. Hii ni kwa mujibu wa wakala wa mchezaji huyo. Musa, 23, alijiunga na CSKA mwaka 2012 na kupachika mabao 54 katika mechi 168. BBC Sport inasema Leicester 'wamevunja benki' katika ada ya kumsajili mchezaji huyo. BBC Sport pia inasema Musa alikataa kwenda Southampton, Everton na West Ham. Kocha wa CSKA Moscow Leonid Slusky amekiri kuwa Mnigeria huyo ambaye anaweza kucheza kama winga au mshambuliaji wa kati, anaondoka Urusi.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
SOMA ZAIDI HAPA
-
Shule 10 zilizofanya vizuri: 1.Kisimiri,-Arusha 2.Feza Boys,-Dar es Salaam 3.Alliance Girls,-Mwanza 4. Feza Girls,-Dar es Salaam 5. Ma...
-
Im Madaktari nchini India wamepandikiza pua mpya katika uso wa mvulana wa miaka 12 iliokuwa imemea katika paa lake la uso. Pua ...
-
Mwanamume mmoja katika mji wa Bungoma, Magharibi mwa Kenya ameshangaza wengi baada...
-
. Na; Martin Maranja Masese. Vijana ndiyo nguvu kazi ya Taifa lolote lenye maendeleo katika Dunia hii.. lakini asilimia kubwa ya vijana hi...
-
Image copyright Image capti Mwanafunzi mmoja wa chuo kikuu kimoja nchini Kenya amejitia kitanzi baada ya kupoteza dau la shilingi...
-
N MKOA NAMBA YA SHULE JINA LA SHULE JINSI JINA 1 GEITA S1164 MISSUNGWI SECONDARY SCHOOL F ...

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni