Mabingwa wa Ligi Kuu ya England Leicester City wamekubaliana na CSKA Moscow kumsajili mshambuliaji kutoka Nigeria Ahmed Musa. Hii ni kwa mujibu wa wakala wa mchezaji huyo. Musa, 23, alijiunga na CSKA mwaka 2012 na kupachika mabao 54 katika mechi 168. BBC Sport inasema Leicester 'wamevunja benki' katika ada ya kumsajili mchezaji huyo. BBC Sport pia inasema Musa alikataa kwenda Southampton, Everton na West Ham. Kocha wa CSKA Moscow Leonid Slusky amekiri kuwa Mnigeria huyo ambaye anaweza kucheza kama winga au mshambuliaji wa kati, anaondoka Urusi.
BREAKING NEWS
-
What is Sociolinguistics? One of the goals of the MLC is to equip students with a solid knowledge – both theoretical and practic...
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
SOMA ZAIDI HAPA
-
What is Sociolinguistics? One of the goals of the MLC is to equip students with a solid knowledge – both theoretical and practic...
-
Introduction What is a teaching portfolio? A teaching portfolio is a collection of documents tha...
-
Image copyright GETTY Image caption Michy alifunga dhidi ya Hungary baada ya kuingia nafasi ya Romelu Lukaku Klabu ya Chelsea ya Uingerez...
-
Introduction The Ethical Standards for the Teaching Profession represent a vision of professional practice. At the heart o...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni