Jumamosi, 11 Juni 2016

KIJANA WA KINEPAL APATA UGONJWA WA KUGEUKA JIWE.

Kijana wa miaka 11 apata ugonjwa wa kugeuka jiwe.
Ramesh kumari kutoka Nepal mwenye umri wa miaka 11 anaugua ugonjwa wa uso na mwili kugeuka jiwe.

Babake Nanda anasema ugonjwa huu ulianza akiwa na siku 15 baada ya kuzaliwa.
Anasema ngozi yake alianza kuwa nyeusi na kuwa ngumu.

Mwimbaji Joss Stones amelipia ada za matibabu ya mtoto huyu kwa ajili ya upasuaji.
Kulingana na madktari Ramesh ana aina fulani ya saratani ya ngozi.

Maoni 1 :

SOMA ZAIDI HAPA