Alhamisi, 12 Mei 2016

KINYAMBE AFARIKI DUNIA

TANZIA: Mwigizaji wa comedy Mohammed Abdallah maarufu "Kinyambe" amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya mkoa wa Mbeya alikokuwa amelazwa akipatiwa matibabu.

Mungu amlaze mahali pema peponi ndugu yetu Kinyambi. #RIP

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

SOMA ZAIDI HAPA