#Habari:Wananchi wa kijiji cha Mkomilo kata ya Okaoni wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro wametishia kuchoma moto nyumba za Polisi na kufunga kituo cha polisi Okaoni kwa madai kuwa askari waliopo katika kituo hicho wameshindwa kukabiliana na matukio ya uhalifu na hivyo kusababisha mwenyekiti wa kijiji hicho kuuawa karibu na kituo hicho bila kupata msaada wa polisi licha ya kupewa taarifa.
#source Radio one stereo
BREAKING NEWS
-
Kijana wa miaka 11 apata ugonjwa wa kugeuka jiwe. Ramesh kumari kutoka Nepal mwenye umri wa miaka 11 anaugua ugonjwa wa uso na mwili kugeuk...
Jumapili, 1 Mei 2016
AUAWA KARIBU NA KITUO CHA POLISI- MOSHI
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
SOMA ZAIDI HAPA
-
Kijana wa miaka 11 apata ugonjwa wa kugeuka jiwe. Ramesh kumari kutoka Nepal mwenye umri wa miaka 11 anaugua ugonjwa wa uso na mwili kugeuk...
-
Kampuni ya kuzalisha umeme nchini Kenya, KENGEN imetuma taarifa kwa vyombo vya habari ikiomba radhi kwa ukosefu wa umeme Kwa hapo jan...
-
Discuss the merits and demerits of nucleated (or dispersed) settlements for agricultural development in Tanzania. Note 1: work in groups...
-
Image caption Makamu wa rais Riek Machar Kushoto na Salva Kiir Kulia Taarifa kutoka Sudan Kusini zinasema mamia ya watu, wengi wa...
-
Paka aliyewekwa katika kitabu cha kumbukumbu cha Guiness of World record kwa kuwa mzee amefariki. Scooter aliyesheherekea miaka 30 ya k...
-
Settlement During this unit you will understand more about the built environment around you by looking at different settlements past and p...
-
Image copyright AP Image caption Al_shabab_kenya Polisi nchini Kenya wanasema kuwa zaidi ya wapiganaji 100 wamevamia kituo kimoja cha p...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni