#Habari:Wananchi wa kijiji cha Mkomilo kata ya Okaoni wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro wametishia kuchoma moto nyumba za Polisi na kufunga kituo cha polisi Okaoni kwa madai kuwa askari waliopo katika kituo hicho wameshindwa kukabiliana na matukio ya uhalifu na hivyo kusababisha mwenyekiti wa kijiji hicho kuuawa karibu na kituo hicho bila kupata msaada wa polisi licha ya kupewa taarifa.
#source Radio one stereo
Jumapili, 1 Mei 2016
AUAWA KARIBU NA KITUO CHA POLISI- MOSHI
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
SOMA ZAIDI HAPA
-
His pinpoint accurate free-kick goal in Argentina's 4-0 win over USA in the Copa America Centenario semi-finals was his 55th for his co...
-
Nucleated rural settlement Advantages More interaction with people. Safer as there are more people. Can share ideas on how to solve a p...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni