#Habari:Wananchi wa kijiji cha Mkomilo kata ya Okaoni wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro wametishia kuchoma moto nyumba za Polisi na kufunga kituo cha polisi Okaoni kwa madai kuwa askari waliopo katika kituo hicho wameshindwa kukabiliana na matukio ya uhalifu na hivyo kusababisha mwenyekiti wa kijiji hicho kuuawa karibu na kituo hicho bila kupata msaada wa polisi licha ya kupewa taarifa.
#source Radio one stereo
BREAKING NEWS
-
What is Sociolinguistics? One of the goals of the MLC is to equip students with a solid knowledge – both theoretical and practic...
Jumapili, 1 Mei 2016
AUAWA KARIBU NA KITUO CHA POLISI- MOSHI
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
SOMA ZAIDI HAPA
-
What is Sociolinguistics? One of the goals of the MLC is to equip students with a solid knowledge – both theoretical and practic...
-
Introduction What is a teaching portfolio? A teaching portfolio is a collection of documents tha...
-
Image copyright GETTY Image caption Michy alifunga dhidi ya Hungary baada ya kuingia nafasi ya Romelu Lukaku Klabu ya Chelsea ya Uingerez...
-
Introduction The Ethical Standards for the Teaching Profession represent a vision of professional practice. At the heart o...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni